Lissu ataja rasmi siku ya kurudi Tanzania Mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amebainisha kuwa atarudi nchini, Septemba 7, 2019 ili aweze kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyia mwishoni mwa mwaka huu. Read more about Lissu ataja rasmi siku ya kurudi Tanzania