Azam FC yatambulisha kocha mpya

Kocha Etienne Ndayiragije (kushoto) na Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat.

Uongozi wa klabu ya Azam FC, leo umeingia mkataba wa miaka miwili na Kocha Etienne Ndayiragije, kwa ajili ya kuinoa timu hiyo kuanzia msimu ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS