Google yabadili maamuzi kutofanya kazi na Huawei

Makao Makuu ya kampuni ya Google

Idara ya Masoko nchini Marekani imetangaza kutoa leseni ya siku 90 kwa makampuni ya simu na watoa huduma za mtandao kufanya kazi na kampuni ya Huawei ili kuendelea kuziweka data zake hewani na kulinda usalama wa watumiaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS