Google yabadili maamuzi kutofanya kazi na Huawei
Idara ya Masoko nchini Marekani imetangaza kutoa leseni ya siku 90 kwa makampuni ya simu na watoa huduma za mtandao kufanya kazi na kampuni ya Huawei ili kuendelea kuziweka data zake hewani na kulinda usalama wa watumiaji.