Mmiliki wa Facebook azungumzia kuifunga kampuni
Mtandao wa Facebook umechapisha orodha ya mabilioni ya akaunti feki ilizozichukulia hatua kati ya mwezi Oktoba 2018 na Machi 2019, ambapo kwa kipindi cha miezi sita, Facebook ilifunga zaidi ya akaunti bilioni tatu feki.