Wenye mifuko ya plastiki waambiwa cha kufanya

Mwanasheria Mkuu wa Baraza la Mazingira la Taifa NEMC, Vincent Haule amesema wananchi wenye mifuko ya plastiki wanatakiwa kuwasilisha mifuko yao kwenye ofisi za Serikali za mtaa ili kuhakikisha bidhaa hiyo inaondoka mtaani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS