Wenye mifuko ya plastiki waambiwa cha kufanya
Mwanasheria Mkuu wa Baraza la Mazingira la Taifa NEMC, Vincent Haule amesema wananchi wenye mifuko ya plastiki wanatakiwa kuwasilisha mifuko yao kwenye ofisi za Serikali za mtaa ili kuhakikisha bidhaa hiyo inaondoka mtaani.