Waziri atoa onyo utekelezaji katazo la mifuko
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira January Makamba, amesema utekelezaji wa agizo la kuzuia mifuko ya plastiki halitakuwa la kunyanyasa wananchi kwa kuwapora mali zao na kuleta usumbufu kwa namna moja ama nyingine.