Hatma ya Mbunge CCM aliyemgomea Spika Ndugai

Mbunge wa Shinyanga Mjini Stephen Masele.

Leo May 20, 2019 Mbunge wa Shinyanga Mjini Stephen Masele anatarajiwa kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge kufuatia kutuhumiwa kuendeleza vitendo vya utovu wa nidhamu na kuwachonganisha viongozi wa Serikali na Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS