Spika Ndugai akubali yaishe kwa Masele
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeazimia kumsamehe Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele kufuatia kukutwa na hatia ya kulidharau Bunge huku Kamati ya Maadili ikipendekeza kufungiwa mikutano mitatu.