Dar es salaam yaongoza wagonjwa wa Dengue

Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema wagonjwa 1,901 wamebainika kuwa na virusi vya Dengue Tanzania, huku wengine wakiwa tayari wamepona na baadhi wengine wakiwa wanapata tiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS