Piere atimiza ahadi yake kwa Jokate Piere akiwa na DC Jokate baada ya kukabidhi madawati. Mchekeshaji aliyejizolea umaarufu hivi karibuni, Piere Liquid ametimiza ahadi yake kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo aliyoitoa tarehe 30 Machi katika harambee ya tokomeza zero. Read more about Piere atimiza ahadi yake kwa Jokate