TFF yatoa onyo kali kwa matapeli kuelekea AFCON
Shirikisho la soka Tanzania TFF, limepiga marufuku kwa watu wote wanaotumia vibaya nembo ya shirikisho hilo kutangaza gharama za usafiri pamoja na hoteli kwa Watanzania watakaokwenda nchini kwenye fainali za AFCON.