TFF yatoa onyo kali kwa matapeli kuelekea AFCON

Makao Makuu ya TFF

Shirikisho la soka Tanzania TFF, limepiga marufuku kwa watu wote wanaotumia vibaya nembo ya shirikisho hilo kutangaza gharama za usafiri pamoja na hoteli kwa Watanzania watakaokwenda nchini kwenye fainali za AFCON.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS