Mwigulu aelezea CCM kukosa ushindi kwenye uchaguzi
Aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amedai ushindi ambao wamekuwa wakiupata Chama Cha Mapinduzi hautokani na kupendelewa na Wakurugenzi wa ambao ni wasimamizi wa uchaguzi.