Makonda awapa tahadhari waathirika wa mafuriko

RC Makonda akiwa kwenye moja ya nyumba iliyoathiriwa na mafuriko.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo amefanya ziara ya ukaguzi wa athari za mafuriko ambapo amesema serikali imeanza kukarabati miundombinu iliyoathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha ikiwemo Madaraja, Barabara, Mito na Mifereji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS