WhatsApp yatoa muongozo mpya kwa watumiaji wake
Wamiliki wa mtandao wa kijamii wa 'Whatsapp' wamegundua shambulio la kimtandao lililolenga kuiba taarifa za watumiaji wa mtandao huo kwa kutumia program zililzoanzishwa na wadukuzi hao, hivyo kuagiza watumiaji kuzipakua upya program zao.