WhatsApp yatoa muongozo mpya kwa watumiaji wake

Nembo ya Whatsapp

Wamiliki wa mtandao wa kijamii wa 'Whatsapp' wamegundua shambulio la kimtandao lililolenga kuiba taarifa za watumiaji wa mtandao huo kwa kutumia program zililzoanzishwa na wadukuzi hao, hivyo kuagiza watumiaji kuzipakua upya program zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS