Mbunge Bwege kuchangiwa figo na mtoto wake

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilwa Kusini Seleman Bungara (Bwege) ambaye hivi karibuni alifanya mahojiano na #EastAfricaRadio na kueleza hali yake kiafya hususani changamoto yake ya figo amesema kuwa mtoto wake wa kiume amekubali kumchangia figo moja na tayari ameanza vipimo vya awali kufaniki

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS