Mechi ya kwanza, Amri Said aitoa mkiani Biashara

Kocha wa Biashara United Amri Said

Kocha mpya wa klabu ya soka ya Biashara United ya Mara, Amri Said maarufu ‘Stam’ ameanza vizuri maisha yake mapya ndani ya klabu hiyo baada ya kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Mbeya City.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS