AY azungumzia kuacha muziki

AY akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio.

Msanii mkongwe wa Hip-hop nchini, Ambwene Yessayah (A.Y) amefunguka kuwa kwa sasa hawezi sema ni lini ataachana na muziki mpaka pale muda utaporuhusu yeye kufanya hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS