Jinsi Liverpool ilivyokataa uteja kwa Barcelona

Luis Suarez (kushoto) na Phillipe Coutinho (kulia)

Imejulikana kuwa klabu ya Barcelona imepewa masharti ya kutosajili mchezaji yoyote kutoka klabu ya Liverpool kwa miaka mitatu kutokana na makubaliano yaliyofanywa wakati Philippe Coutinho alipohama kutoka  Anfield kwenda Camp Nou mapema mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS