Milioni 50 kanipa mimi, kwanini mnamsemea? - Karia
Uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) umewataka mashabiki na wadau wa soka nchini Tanzania kuacha kumsemea Rais John Magufuli kuhusu milioni 50 alizotoa kwa ajili ya maandalizi ya timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'.