Bocco atofautiana na kocha Patrick Aussems John Bocco kushoto na kocha Patrick Aussems. Klabu ya soka ya Simba kupitia kwa nahodha wake, John Bocco, imeeleza kuwa matokeo ya suluhu na Lipuli FC hayakuwa matokeo waliyoyatarajia bali walijitahidi kutengeneza nafasi lakini hawakuzitumia vizuri. Read more about Bocco atofautiana na kocha Patrick Aussems