''Nilifungiwa mwaka mmoja na baba'' - Drogba

Didier Drogba kwenye picha kubwa na picha ndogo akiwa na baba yake mzee Albert Drogba.

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba ameweka wazi kuwa aliwahi kuzuiliwa kucheza mpira kwa mwaka mmoja na baba yake mzazi, mzee Albert Drogba ili ajikite zaidi kwenye elimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS