Magufuli ataja kilichomvutia kwa Askofu Chengula

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na aliyekuwa Askofu Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Askofu Evarist Chengula.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameshiriki ibada ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Askofu Kanisa Katoliki wa Jimbo la Mbeya, Askofu Evarist Chengula na kusema kiongozi huyo alikuwa moja ya watu mahiri nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS