Mchezaji wa Washington Wizard agombana na kocha

John Wall na kocha wake, Scott Brook

Mchezaji maarufu (Point Guard) wa Washington Wizard inayoshiriki ligi ya kikapu nchini Marekani NBA, John Wall ameingia katika matatizo na uongozi wa klabu yake baada ya kumtolea lugha chafu kocha wake, Scott Brook.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS