Daktari feki afanyia mtu upasuaji Dodoma

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Giles Muroto na kulia ni baadhi ya vifaa tiba alivyokuwa akitumia dakatari huyo feki.

Jeshi la polisi  mkoani Dodoma linamshikilia Hassan Abdalah mkazi wa Wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro kwa tuhuma za kutoa huduma za afya ikiwemo matibabu na upasuaji bila kuwa na cheti cha taaluma ya udaktari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS