CHADEMA yaita wanachama wake nchi nzima 

Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vicent Mashinji

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimewataka wanachama wake nchi nzima kufika mahakamani wakati kesi inayowakabili viongozi wake watano itakapounguruma ili wajionee uendeshwaji wa kesi na kuamua kwa pamaoja nini cha kufanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS