PM atoa maagizo baada ya kutembelea Ruvu Chini
Akiwa katika ziara hiyo leo Desemba 29, 2025, Dkt. Mwigulu amesema kuwa ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa maji unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi, Serikali ilianza utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

.jpg?itok=Jg2fSrAZ)