Mwili wa Lukuvi kuagwa Iringa

Jeneza lenya mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Marehemu William Lukuvi (Mb), umewasili mkoani Iringa kwa ajili ya shughuli ya kuagwa inayotarajiwa kufanyika kesho Machi 30, 2026.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS