Himid Mao awatadharisha Yanga kwa hili

Nahodha Himid Mao

Nahodha wa klabu ya Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC Himid Mao amesema mechi ya leo dhidi ya Yanga SC haitaweza kuwa rahisi kama wanavyofikilia kwa madai hawawezi kumkaribisha mtu kwao halafu akatoka salama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS