Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi

Kamati ndogo ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia vitendo vya utesaji na unyanyasaji 'SPT' imeamua kurejea nchini Rwanda baada ya kusimamisha uchunguzi huo Oktoba 2017, ingawa tarehe ya kurejea huko haijatangazwa mpaka hivi sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS