'Lau nafasi' yamponza Man Fongo
Msanii wa miondoko ya singeli Man Fongo amefunguka na kusema yupo teyari hata kupelekwa Mahakamani kujibu mashtaka ya kutumia kazi ya wanamuziki wa zamani wa 'Kilwa Jazz Band' kwa madai lengo la kutumia wimbo wao ni kutaka kuufikisha mbali singeli.

