Matapeli waingia kwa Lazaro Nyalandu

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amekanusha habari zinazosambaa kwa kasi kati mitandao ya kijamii kuhusu yeye kusafirisha watu kwenda kuzuuru nchi ya Israel na kusema hao ni matapeli na wanapaswa kupuuzwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS