Rushwa, zatua CHADEMA

Katibu Mkuu wa Chama  Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA) Dkt. Vincent Mashinji amesema kuendelea kuhama kwa  Madiwani na baadhi ya wanachama wa chama hicho chanzo chake ni rushwa na sio sababu nyingine kama wao wanavyotoa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS