Alichosema Wakili Kibatala baada ya kumtosa Wema

Baada ya Wakili Peter Kibatala kujitoa kwenye kesi ya Muigizaji Wema Sepetu, wakili huyo amesema kwamba hawezi kuanika sababu za kuachana na kesi ya mteja wake huyo kwani ni kinyume na maadili ya kazi zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS