Samia kuzindua mradi wa tofauti Iringa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuzindua mradi wa kusimamia maliasili na kuendeleza utalii wa kanda ya kusini ujulikanao kama REGROW (Resilient Natural Resource for Tourism and Growth).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS