Kipa wa Simba kumalizia mwaka 'Gym' Mlinda mlango wa klabu ya Simba Said Mohamed Nduda atamaliza mwaka 2017 akiwa kwenye mazoezi ya “Gym” baada ya kupona majeraha ambayo yamemweka nje tangu msimu huu uanze. Read more about Kipa wa Simba kumalizia mwaka 'Gym'