Mbunge afichua siri za CCM
Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche (CHADEMA) amedai kwamba Serikali ya CCM haijawahi kupingana na rushwa kwani rushwa zote zinazofanyika zimeasisiwa na Chama Cha Mapinduzi na kwamba wanaonekana kushughulikiwa ni wale wasitakiwa na mfumo.