Wazee 4000 wapatiwa ukombozi

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amekabidhi kadi za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa wazee 4000 wa wilaya ya Ruangwa ili waweze kumudu gharama za matibabu bila kulazimika kuwa na fedha taslimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS