Kala Jeremiah amwahidi Makamu wa Rais

Baada ya msanii wa Hip Hop Kala Jelemiah kula shavu la nguvu la kusifiwa na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa ngoma yake mpya aliyoachia hivi karibuni “Kijana” ni nzuri, amesema anajipanga kuilipa heshima hiyo aliyopewa na kiongozi wa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS