Tundu Lissu 'alitungua' Bunge
Mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA ambaye yuko Nairobi nchini Kenya kwa matibabu, amesema kuwa Bunge la Tanzania halijatoa pesa yoyote kugharamia matibabu yake, kauli ambayo inatofautiana na Bunge ambayo ilisema imetuma fedha.