Magufuli ataka Bodi ya wadhamini UVCCM kuvunjwa

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, John Pombe Magufuli ametaka kuvunjwa kwa bodi ya wadhamini ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM na kuwataka viongozi watakaochaguliwa kuhakiki miradi yote ya umoja huo kuanzia ngazi ya chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS