Mourinho kupunguza au Guardiola kuongeza ?

Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho ataiongoza timu yake kukabiliana na vinara wa ligi hiyo mahasibu wao Manchester City huku akiwa na kazi ya kulipa kisasi na kupunguza rekodi ya kufungwa na kocha Pep Guardiola.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS