Waziri amsimamisha Mhandisi Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwene amemsimamisha kazi Mhandisi Goyagoya Mbena kwa tuhuma za kusaini barua ya kuruhusu ujenzi wa mradi wa Maji wilayani Nkasi mkoani Rukwa. Read more about Waziri amsimamisha Mhandisi