Serikali yazindua mfumo wa huduma za kijamii
Serikali imezindua mwongozo wa huduma za maji na usafi wa mazingira katika vituo vya tiba ikiwemo zahanati, vituo vya afya na hospitali ikiwa ni katika kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira.