Wabunge na Wafuasi wa CHADEMA wakosa dhamana

Mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Morogoro, imeshindwa kutoa dhamana kwa Wabunge wawili wa  Chama cha Demokrasia na Maendeleo Peter Lijualikali wa Kilombero pamoja na Suzani Kiwanga wa Mlimba na washtakiwa wengine 34 wa Chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS