Wabunge na Wafuasi wa CHADEMA wakosa dhamana
Mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Morogoro, imeshindwa kutoa dhamana kwa Wabunge wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Peter Lijualikali wa Kilombero pamoja na Suzani Kiwanga wa Mlimba na washtakiwa wengine 34 wa Chama hicho.