Zanzibar Heroes yafanya maajabu CECAFA Timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rwanda kwenye mchezo wake wa kwanza Kundi A michuano ya CECAFA Challenge inayoendelea nchini Kenya. Read more about Zanzibar Heroes yafanya maajabu CECAFA