Serikali yatoa neno kwa vijana Serikali imesema Taifa linahitaji vijana wenye maadili mema na wenye hofu ya Mungu watakaoliwezesha taifa kufikia mageuzi ya kiuchumi na kijamii ambayo kila mtu katika jamii amekuwa akiyahitaji. Read more about Serikali yatoa neno kwa vijana