Risasi za Yanga hadharani
Timu ya Young Africans tayari imeshaweka wazi risasi zake za mashambulizi dhidi ya Lipuli FC zikiongozwa na Mkongomani Papy Tshishimbi katika mchezo unaotarajia kuchezwa leo saa kumi jioni katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es saalam.