Wanafunzi wafariki na wengine wakijeruhiwa Dodoma

Wanafunzi waliojeruhiwa

Wanafunzi wawili wa kike katika shule ya sekondari Mpalanga mkoani Dodoma wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Canter iliyokuwa imebeba wanafunzi 46 wakitoka shuleni kwao kuelekea Magaga sekondari kwenye michezo ya UMISETA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS