Wanaotaka kusafiri saa tisa usiku waombe leseni
Mabasi ya Mikoani yameruhusiwa kuanza safari zake saa tisa usiku ambapo Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeagiza Wamiliki wa Mabasi wanaopenda kuanza safari muda huo wafike katika Ofisi zao kuomba leseni