Serikali haitagawa chakula : Mh. Samia Makamu wa Rais. Mh. Samia Suluhu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amesema kamwe Serikali haitagawa chakula kwa wananchi wavivu ambao hawataki kufanya kazi na kusubiri chakula kutoka Serikalini. Read more about Serikali haitagawa chakula : Mh. Samia