ACT watoa maamuzi kwa Mghwira

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira

Chama cha ACT Wazalendo  kimesitisha rasmi uenyekiti wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho tangu kuanzishwa kwake, Anna Mghwira, baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kuazia tare ya leo Juni 7.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS